Ziwa Kivu

Majiranukta: 2°0′S 29°0′E / 2.000°S 29.000°E / -2.000; 29.000
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziwa Kivu
Picha ya ziwa kutoka angani (kwa ruhusa ya NASA).
Anwani ya kijiografia 2°0′S 29°0′E / 2.000°S 29.000°E / -2.000; 29.000
Aina ya ziwa Rift Valley lakes, Meromictic
Mito ya kutoka Ruzizi River
beseni km2 2 700 (sq mi 1 000)
Nchi za beseni Rwanda, Democratic Republic of the Congo
Urefu km 89 (mi 55)[1]
Upana km 48 (mi 30)[1]
Eneo la maji km2 2 700 (sq mi 1 040)[1]
Kina cha wastani m 240 (ft 787)
Kina kikubwa m 480 (ft 1 575)
Mjao km3 500 (cu mi 120)
Kimo cha uso wa maji juu ya UB m 1 460 (ft 4 790)
Visiwa Idjwi
Miji mikubwa ufukoni Goma, Congo
Bukavu, Congo
Kibuye, Rwanda
Cyangugu, Rwanda
Ziwa Kivu likiwa na mji wa Goma kwa nyuma, Kongo.
Watu ufukoni mwa Gisenyi, Rwanda.

Ziwa Kivu ni moja kati ya Maziwa makubwa ya Afrika. Liko mpakani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda, katika tawi la magharibi la Bonde la Ufa.

Maji yake yanatoka kupitia mto Ruzizi unaoelekea kusini hadi ziwa Tanganyika.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: