Jump to content

User:Mtulsam

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mtulsam ni kijana anayeishi Mwanza Tanzania amezaliwa wilaya ya Nyamagana na kusoma katika wilaya hiyo na amesoma masomo ya Falsafa katika shule ya majiundo ya upadri Ntungamo Bukoba. ni mtoto wa tatu kati ya watoto watano wa mzee Samwel na Mama Winfrida Aloyce Mziba.

Mtulsam ni mwandishi wa makala mbalimbali katika jarida la USEMWA na mwandishi wa vitabu. Lakini pia amewahi kufanya tafiti mbalimbali na zingine zipo katika makitaba ya chuo kikuu cha Dodoma. amefanya tafiti kuhusiana na huduma za afya kata ya mhandu; the self in moulding personality based on John Locke understanding.